MSUVA AFUNGUKA KUHUSU KUJIUNGA NA YANGA

Simon MSUVA, aliyewah kuwa Mchezaji wa Yanga Sc, amefunguka haya kufuatia na tetesi zake kurejea Jangwani, Msuva amefunguka haya “Mimi sikuondoka vibaya Yanga SC, najua wengi wanatamani nirudi Yanga SC. Sitaki kuwakatisha tamaa ipo siku nitarudi Yanga SC. Lakini kwa sasa bado natamani kucheza nje”~ @msuva27

Comments

Popular posts from this blog

HAJI MANARA AMPONGEZA ALLY KAMWE KUTEULIWA YANGA

AZAM FC YASHINDA 2-0 CHAMAZI, LAKINI YATOLEWA

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR