Rasmi kiungo mshambuliaji raia wa Burkina faso Stephanie Aziz ki Aagwa na Kuja Yanga
Rasmi kiungo mshambuliaji raia wa Burkina faso Stephanie Aziz ki ameagwa leo na timu yake ya Asec Mimosas mara baada ya mchezo wa kumaliza msimu wa 2021-22 Ligi Kuu nchi Ivory Coast
Stephanie Aziz ki ataanza safari usiku huu Kutoka Ivory Coast sambamba na wakala wake kuja nchini

Comments
Post a Comment