SAUTI:MAYELE KUZINDUA MTINDO MPYA MBELE YA SIMBA

 

FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amebainisha kuwa msimu mpya wa 2022/23 hana mpango wa kuendelea na mtindo wa kutetema na badala yake anakuja na mtindo mpya wa kushangilia na atauzindua kwenye mchezo dhidi ya Simba ambao utakuwa ni wa Ngao ya Jamii

Comments

Popular posts from this blog

HAJI MANARA AMPONGEZA ALLY KAMWE KUTEULIWA YANGA

AZAM FC YASHINDA 2-0 CHAMAZI, LAKINI YATOLEWA

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR