YANGA YAENDELEZA HISANI KABLA YA MECHI ZAKE

 


KLABU ya Yanga imeendeleza utamaduni wa kufanya shughuli za Kijamii kabla ya mechi zake baada ya leo kutembelea kituo cha kupambana na matumizi ya dawa za kulevya kiitwacho Njiro Recovery Sober House Jijini Arusha.
Katika ziara hiyo, Yanga ambayo kesho itamenyana na Coastal Union ya Tanga katika Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC), imeongozana na Mkuu wa Wilaya Arusha Mjini Said, Mohamed Mtanda.




Comments

Popular posts from this blog

HAJI MANARA AMPONGEZA ALLY KAMWE KUTEULIWA YANGA

AZAM FC YASHINDA 2-0 CHAMAZI, LAKINI YATOLEWA

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR