YANIC BANGALA MCHEZAJI BORA WA NBC
Usiku wa tareh 7 July 2022, umekua ni usiku wa Aina yake ambao Tuzo mbalimbal zilitolewa katika NBC TFF AWARDS ambapo Beki wa YANGA Sc YANIC BANGALA ameshinda Nafasi ya pili katika Tuzo ya Mchezaji bora wa LIGI KUU ya NBC 2021/2022. Nafasi ya Kwanza Ikishikwa na Mchezaji wa Simba Sc ENOCK INONGA.
Comments
Post a Comment