YANIC BANGALA MCHEZAJI BORA WA NBC

Usiku wa tareh 7 July 2022, umekua ni usiku wa Aina yake ambao Tuzo mbalimbal zilitolewa katika NBC TFF AWARDS ambapo Beki wa YANGA Sc YANIC BANGALA ameshinda Nafasi ya pili katika Tuzo ya Mchezaji bora wa LIGI KUU ya NBC 2021/2022. Nafasi ya Kwanza Ikishikwa na Mchezaji wa Simba Sc ENOCK INONGA. 

Comments

Popular posts from this blog

HAJI MANARA AMPONGEZA ALLY KAMWE KUTEULIWA YANGA

AZAM FC YASHINDA 2-0 CHAMAZI, LAKINI YATOLEWA

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR