ALLY MAYAY TEMBELE MKURUGENZI MPYA WA MICHEZO

 


ALIYEWAHI kuwa Nahodha wa timu ya taifa na klabu ya Yanga, Ally Mayayi Tembele ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo akichukua nafasi ya Yusuph Singo.


Comments

Popular posts from this blog

HAJI MANARA AMPONGEZA ALLY KAMWE KUTEULIWA YANGA

AZAM FC YASHINDA 2-0 CHAMAZI, LAKINI YATOLEWA

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR