VIDEO:WAPINZANI WA YANGA, ZALAN KUWASILI LEO

 


WAPINZANI wa Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Zalan FC wanatarajiwa kuwasili leo Dar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 10,2022 ambapo Zalan wao watakuwa wenyeji wa mchezo huo

Comments

Popular posts from this blog

HAJI MANARA AMPONGEZA ALLY KAMWE KUTEULIWA YANGA

AZAM FC YASHINDA 2-0 CHAMAZI, LAKINI YATOLEWA

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR