SIMBA SC YATINGA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

 


WENYEJI, Simba SC wamefanikiwa kwenda Hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Primiero de Agosto ya Angola katika mchezo wa marudiano Hatua ya 32 Bora leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Bao pekee la Simba SC leo limefungwa na mshambuliaji wake Mzambia, Mosea Phiri dakika ya 33 na sasa Wekundu wa Msimbazi wanakwenda Hatua ya Makundi kwa ushindi wa jumla wa 4-1 kufuatia kuwafunga 3-1 Agosto kwao, Luanda wiki iliyopita.

Comments

Popular posts from this blog

HAJI MANARA AMPONGEZA ALLY KAMWE KUTEULIWA YANGA

AZAM FC YASHINDA 2-0 CHAMAZI, LAKINI YATOLEWA

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR